Rapper kutoka kundi la WEUSI Joh makini na mwanamuziki mkali wa Rnb Damian Soul wanatarajia kuzindua video ya wimbo "Ni Penzi" ijumaa hii na uzinduzi utafanyika Eskape one jijini Dar es salaam.
Katika uzinduzi huo Damian atapiga show live na bendi yake, vilevile anaakaribisha watu wote kwenda ku-show love na kuenjoy muziki mzuri kutoka kwao.
Bila kusahau Show ya Funga Mwaka La Weusi inaendelea weekend hii ambapo round hii itakua ni zamu ya Moshi kabla ya kuhamia Mbeya.
Katika uzinduzi huo Damian atapiga show live na bendi yake, vilevile anaakaribisha watu wote kwenda ku-show love na kuenjoy muziki mzuri kutoka kwao.
![]() |
DAMIAN SOUL. |
No comments:
Post a Comment