MABESTE. |
"Ili muziki usonge mbele kunahitajika maelewano, kwahiyo malumbano na chuki siku zote avijengi bali vinabomoa." alisema.
Pia mabeste amesema anachoangalia sasa ni kufanya kazi ambazo zitawafurahisha mashabiki zake na sio kuweka bifu na kinyongo na watu wengine.
'Ili Muziki wetu usonge mbele na ukue kama wa wenzetu, tunatakiwa kubadilika na kuiga mazuri kutoka kwa wenzetu, hivyo bado tuna safari ndefu sana ya kuufikisha huu muziki pale unapopaswa kufika." alisema Mabeste.
No comments:
Post a Comment