Muimbaji kutoka nchini Nigeria, Wizkid ameungana na Tinie Tempah rapper
wa Uingereza nchini Venezuela kufanya video ya wimbo wao mpya.

Kupitia akaunti yake ya Instagram, Wizkid amepost picha akionekana wapo location nchini Venezuela akiwa na Tinie Tempah mwenye asili ya Nigeria. Hakuna shaka kuwa wawili hao kuonekana maeneo hayo hakuna kingine walichokifuata zaidi ya kushoot video.
Nyota ya Wizkid imeonekana kung’aa kwa mwaka huu kutokana na kuwa karibu na mastaa wakubwa duniani akiwemo Drake na Chris Brown huku wimbo wake na Drake ‘One Dance’ ukishikilia namba moja kwenye chati za Billboard 100 wiki sita sasa.


Kupitia akaunti yake ya Instagram, Wizkid amepost picha akionekana wapo location nchini Venezuela akiwa na Tinie Tempah mwenye asili ya Nigeria. Hakuna shaka kuwa wawili hao kuonekana maeneo hayo hakuna kingine walichokifuata zaidi ya kushoot video.
Nyota ya Wizkid imeonekana kung’aa kwa mwaka huu kutokana na kuwa karibu na mastaa wakubwa duniani akiwemo Drake na Chris Brown huku wimbo wake na Drake ‘One Dance’ ukishikilia namba moja kwenye chati za Billboard 100 wiki sita sasa.

No comments:
Post a Comment