Thursday, September 18, 2014

ARUSHA NA JOH MAKINI.!!!


 Screen Shot 2014-05-05 at 4.07.16 PM
  Arusha ni miongoni mwa miji ya Tanzania ambayo Wakazi wake wanasifa ya kuwa mashabiki wakubwa wa muziki aina ya Hiphop….  ambapo kwenye post hii mashabiki wa A Town wamedhihirisha kweli wakati wa show ya Joh Makini mwamba kutoka WEUSI ambao ni sehemu ya wakali watakaokuepo kwenye Fiesta Ijumaa hii Iringa!! na jumapili Morogoro!! Joh Makini alivyofanya poa A Town City

No comments:

Post a Comment