Mwimbaji
wa muziki wa Bendi Khalid Chokoraa ni miongoni mwa wakali wenye majina
yao kwenye muziki wa dansi, alipata time ya kuzungumza na kituo kimoja cha Online Tv na akazungumzia taarifa za yeye kutoka bendi ya Mapacha Watatu na kwenda Twanga Pepeta……
![]() | |
Khalid Chokoraa. |
‘Twanga
nilikaa pale miaka mitano nikafanya album nne niliacha viporo vya kazi
zangu nyingi sana kwa hiyo nikirudi sitaumiza kichwa sana kwa sababu
mashabiki wa muziki wa dansi wanajua nini nilikifanya ndani ya Twanga
Pepeta’;-Khalid Chokoraa
‘Nimepewa
ada ya kunirudisha namshukuru Mwenyezi Mungu siwezi kusema ni ndogo au
ni nyingi lakini kwa usawa huu wa Magufuli wa kutumbua majipu ni
nyingi, kwa kibendi bendi inawezekana katika wanamuziki wa bendi mimi
nikawa ni mwanamuziki niliyenunuliwa kwa bei kubwa’:-Khalid Chokoraa.
Kuazaa video ya mahojiano ya Khalid Chokoraa Click HAPA
No comments:
Post a Comment