Thursday, June 2, 2016

RICH MAVOKO SASA RASMI NDANI YA LEBEL YA WCB.

June 2, 2016 label ya Wasafi inayomilikiwa na staa Diamond Platnumz inaingia kwenye headlines za Bongo Fleva baada ya kumtambulisha rasmi  msanii  wao mpya  Rich Mavoko ambaye anakuwa ni msanii wa nne atakayesimamiwa kazi zake katika label hiyo.
Kwa mujibu wa Diamond Platnumz amesema…’ 
Kwasasa Label yangu inakuwa na jumla ya wasanii wanne ukiachana na Rich Mavoko kuna Dada yangu Queen Darling ambaye sijawahi kumtambulisha lakini anakuwa ni msichana wa kwanza katika label yangu kwahiyo tutakuwa na Raymond, Harmonize, Rich Mavoko na Queen Darling
Rich mavoko na Diamond Platnumz.
Baadhi ya watu wameanza kuzungumza kuwa Rich Mavoko ni msanii mkubwa hivyo kusaini WCB ni kujishuasha, ila ningependa kuwakumbusha kuwa Kanye West ni Msanii mkubwa duniani lakini alisaini lebel ya Jay Z ya Rock Nation.

Kwahiyo sioni tatizo kwa Rich mavoko kuwa chini ya lebel ya WCB, kinachotalkiwa ni maslahi yake yaende kama walivyokubaliana.

Kutazama video ya utambulisho wake CLICK HAPA 

No comments:

Post a Comment