Rapper kutoka Morogoro, Stamina Jumanne hii anaachia remix ya wimbo
‘Mmeniroga’ aliowashirikisha rappers wanaofanya vizuri kwa sasa Roma na
mkongwe katika muziki huu, Jay Moe.
Ngoma hiyo imefanyika katika studio za Kiri Records chini ya mtayarishaji wa Rash Don.

Ngoma hiyo imefanyika katika studio za Kiri Records chini ya mtayarishaji wa Rash Don.
No comments:
Post a Comment