Trey Songz alipata fursa ya kuzungumza na mtangazaji wa
NTV, Larry Madowo kuhusu mambo kibao kuanzia Afrika na muziki wake,
alivyojisikia kwenda Kenya na kurekodi na wasanii wa Afrika akiwemo
Vanessa Mdee na wengine, ubaguzi wa rangi unavyoendelea Marekani na
mengine kibao.
Amezungumzia pia jinsi alivyo na hamu ya kufanya wimbo na Beyonce.
Akiwa Kenya staa huyo alipata fursa ya kupanda matatu na kuzunguka Nairobi.

Kusikiliza interview CLICK HAPA.
Amezungumzia pia jinsi alivyo na hamu ya kufanya wimbo na Beyonce.
Akiwa Kenya staa huyo alipata fursa ya kupanda matatu na kuzunguka Nairobi.


Kusikiliza interview CLICK HAPA.
No comments:
Post a Comment