Ikiwa ni mwezi mmoja umebaki kabla hajaachia album yake ya tatu ‘The
Pinkprint’, na miezi miwili toka aachie single ya ’Anaconda’, Nicki
Minaj kesho Jumanne (Oct. 28) anatarajia kuachia single mpya iitwayo
‘Only’.

Katika single hiyo Minaj amewakutanisha Drake na Chris Brown pamoja na Lil Wayne.
Minaj ameshare cover ya kuchorwa ya single hiyo ambayo inamuonesha Drizzy akiwa amevaa kama papa bila uwepo wa Breezy.
Album ya Nicki Minaj ‘The Pinkprint’ inatarajiwa kutoka November 24 chini ya Young Money, Cash Money na Republic Records.

Katika single hiyo Minaj amewakutanisha Drake na Chris Brown pamoja na Lil Wayne.
Minaj ameshare cover ya kuchorwa ya single hiyo ambayo inamuonesha Drizzy akiwa amevaa kama papa bila uwepo wa Breezy.
Album ya Nicki Minaj ‘The Pinkprint’ inatarajiwa kutoka November 24 chini ya Young Money, Cash Money na Republic Records.
No comments:
Post a Comment