![]() |
RICKROSS. |
‘Keep Doin’ That (Rich B**ch)’ ndio official single ya kwanza kutoka kwenye album mpya ya Rozay ‘Hood Billionaire’ inayotarajiwa kutoka November 24.
Wimbo huo umefanyiwa shooting Jumatano ya wiki hii huko Georgia, na miongoni mwa mastaa wataoonekana ni pamoja na Young Jeezy.
No comments:
Post a Comment