Baada ya kuvunjika kwa mahusiano yao hivi karibuni, rapper Iggy Azalea
amefafanua tetesi za kurudiana na mchumba wake mchezaji wa kikapu, Nick
Young baada ya kuonekana akiingia kwenye nyumba waliokuwa wanaishi huko
Los Angeles.
Kupitia akaunti yake ya Twitter, Iggy ameandika, “I never had anyone’s car towed nor did I kick nick out of “my” house. The home belongs to nick, Iam the one moving. Thanks.”
Uhusiano wa Iggy na Nick uliingia dosari baada ya kuvuja kwa mazungumzo ya siri March 24 yaliyomhusisha Nick na mchezaji mwenzake D’Angelo Russell kuhusu kutongaza wanawake wengine.
Kupitia akaunti yake ya Twitter, Iggy ameandika, “I never had anyone’s car towed nor did I kick nick out of “my” house. The home belongs to nick, Iam the one moving. Thanks.”
Uhusiano wa Iggy na Nick uliingia dosari baada ya kuvuja kwa mazungumzo ya siri March 24 yaliyomhusisha Nick na mchezaji mwenzake D’Angelo Russell kuhusu kutongaza wanawake wengine.
No comments:
Post a Comment