Kiingereza ni lugha inayotupa tabu Watanzania wengi na hakuna anayebisha
kuwa kimekuwa kikitukosesha fursa nyingi za kimataifa au kujikuta
tukiumbuka.
Rich Mavoko ni mmoja wao na amesema atalazimika kufuata njia ya bosi wake, Diamond ili kujinoa zaidi kuepuka kuumbuka siku za usoni.
“Mwaka jana nilienda London, nikakutana na mtu anaongea Kiingereza pale pale lakini mbona kuna vitu sivielewi anavyoongea, alikuwa ni mhindi ambaye amezaliwa kule kule. Anaweza kuuliza maswali mengi ukaelewa matatu,” Mavoko ameiambia Bongo5.
Tazama video ya Mavoko akielezea.. CLICK

Rich Mavoko ni mmoja wao na amesema atalazimika kufuata njia ya bosi wake, Diamond ili kujinoa zaidi kuepuka kuumbuka siku za usoni.
“Mwaka jana nilienda London, nikakutana na mtu anaongea Kiingereza pale pale lakini mbona kuna vitu sivielewi anavyoongea, alikuwa ni mhindi ambaye amezaliwa kule kule. Anaweza kuuliza maswali mengi ukaelewa matatu,” Mavoko ameiambia Bongo5.
Tazama video ya Mavoko akielezea.. CLICK
No comments:
Post a Comment