Rapper Nick Cannon amemtaka Eminem kwenye kuchana baada ya siku
chache kutangaza kutoa dau la dola laki moja kwa msanii atakayemshinda
kwenye shindano la kughani litakalofanika Juni 25 mwaka huu kwenye BET
Awards.
Akiongea na Tim Westwood, Nick Cannon alisema “I’m still ready! I’m trying to find him. Where is he?”
Corey Charron, King Los, Bow Wow na Murda Mook ndio wasanii pekee waliotangaza kushindana na Nick Cannon kwenye shindano hilo.
Nick Cannon kamtaka Eminem kwa sababu ndiye Rapper bora wa mitindo huru hivyo kushindana na ye kutaleta attention kubwa kwa watu, Eminem bado ajajibu chochote kuhusu kauli ya nick Cannon kama atashiriki katika battle hiyo au hatashiriki.
Kutazama video ya Nick Cannon akizunguma hayo BOFYA HAPA
![]() |
Nick Cannon |
Corey Charron, King Los, Bow Wow na Murda Mook ndio wasanii pekee waliotangaza kushindana na Nick Cannon kwenye shindano hilo.
Nick Cannon kamtaka Eminem kwa sababu ndiye Rapper bora wa mitindo huru hivyo kushindana na ye kutaleta attention kubwa kwa watu, Eminem bado ajajibu chochote kuhusu kauli ya nick Cannon kama atashiriki katika battle hiyo au hatashiriki.
Kutazama video ya Nick Cannon akizunguma hayo BOFYA HAPA
No comments:
Post a Comment