Rapper wa Morogoro, Afande Sele ameeleza kusikitishwa kwake na habari
iliyoandikwa kwenye gazeti la udaku kuwa ameonekana na mpenzi mpya
siku moja baada ya kupita arobaini ya mzazi mwenzake, Mama Tunda.

Afande ametoa maelezo ambayo anadai ni ya kweli na siyo yaliyoandikwa na mwandishi aliyechapisha stori hiyo
" Muda mwingine waandishi wanatakiwa kuandika vitu vya ukweli, uwezi kuja sehemu ukamkuta mtu kakaa na mwanamke ukaandika anatoka naye, huo ni uchafuaji wa majina ya watu, waandishi wanatakiwa kuripoti stori au habari ambazo wanauhakika nazo" Alisema.
Stori hii inaendelea, kusoma zaidi click HAPA.

Afande ametoa maelezo ambayo anadai ni ya kweli na siyo yaliyoandikwa na mwandishi aliyechapisha stori hiyo
" Muda mwingine waandishi wanatakiwa kuandika vitu vya ukweli, uwezi kuja sehemu ukamkuta mtu kakaa na mwanamke ukaandika anatoka naye, huo ni uchafuaji wa majina ya watu, waandishi wanatakiwa kuripoti stori au habari ambazo wanauhakika nazo" Alisema.
Stori hii inaendelea, kusoma zaidi click HAPA.
No comments:
Post a Comment