Muimbaji wa ‘Kiuno’, TID amesema tangu siku nyingi yeye ni msanii wa
kimataifa ingawa amekuwa hapewi support anayostahili kupata.
Akiongea kuhusu swala hilo, muimbaji huyo ambaye hivi karibuni alirekodi
wimbo na msanii wa Afrika Kusini, Tumi, amesema kile wanachokifanya
wasanii wapya wanaotaka kwenda international kwa sasa, yeye alikifanya
miaka mingi iliyopita.
“Unajua kama kufanya muziki international mimi tayari nilishaenda zamani sana, maana nikikumbuka video zangu nimeshafanya interviews na MTV Base,Channel O na pia nimefanya kazi na wasanii kutoka Nigeria na South Africa,” amesema.
“Pia nimefanya kazi na watu kama akina Chameleone na wasani wengine. Kwahiyo kwenda International ndo kitu nachokifanya. Naona ni support ndo sipati ya kutosha maana nimeshafanya maconcert makubwa kama Kigali,Burundi na South Africa kwahiyo muziki wangu upo international.”
![]() |
| TID. |
“Unajua kama kufanya muziki international mimi tayari nilishaenda zamani sana, maana nikikumbuka video zangu nimeshafanya interviews na MTV Base,Channel O na pia nimefanya kazi na wasanii kutoka Nigeria na South Africa,” amesema.
“Pia nimefanya kazi na watu kama akina Chameleone na wasani wengine. Kwahiyo kwenda International ndo kitu nachokifanya. Naona ni support ndo sipati ya kutosha maana nimeshafanya maconcert makubwa kama Kigali,Burundi na South Africa kwahiyo muziki wangu upo international.”
No comments:
Post a Comment