Monday, September 22, 2014

UMEVIONA VIATU ANAVYOVAA RAPPER OCTOPIZZO KUTOKA KENYA ZENYE THAMANI YA MILLION 2 TSH?

 


Rapper Octopizzo kutoka kule nchini kenya amengia kwenye headline hasa kwenye upande wa mavazi,ambapo baadhi ya majarida yanandika kusiana na uvaaaji wake ukiwa wa bei ghali zaidi ambapo hivi karibuni akiwa Nairobi alioneka ameva viatu aina ya sneaker vinavyotengenezwa na kampuni ijulikanayo kama Versace vyenye thamani ya shilingi 1,295 dollars (dollar za kimarekani sawa na shilingi 110000 za kenya, na shilingi 2,188,550 za kitanzania). Kutazama picha za sneaker hizo Click HAPA 

No comments:

Post a Comment