Sunday, August 16, 2015

MWANA DADA FEZA KESSY AFUNGUKA KUHUSU GAME YAKE YA MUZIKI!

Mwana dada anayefanya muziki wa Bongo fleva Feza kessy amefunguka katika kipindi cha FNL juzi usiku kuhusu ukimya wake katika game ya muziki huku akisema yuko serious na muziki na anafanya muziki kama kazi na sio for fun.

FEZA KESSY
Kujua zaidi alichozungumza Mwana dada huyo BONYEZA HAPA.

No comments:

Post a Comment